Friday, August 30, 2013

Diamond na vijana wake wakitoa burudani kwa mashabiki.
...Akiangalia mashabiki wake.
 
Mkurugenzi wa bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka (mwenye gauni jekundu) akiwa  na mama mzazi wa Diamond.
Meneja wa Diamond, Babu Talle, mwenye fulana aina ya Form Six na kiongozi wa kundi la Wanaume Family, Said Fella, anayeonekana akisoma sms kwenye simu, wakifuatilia maelezo hayo ya Diamond.
Madam Ritha na Nay wa Mitego  walikutana uso kwa uso ikabidi wapige picha ya pamoja.
Meneja wa kampuni ya Global Publishers, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ (mwenye tai katikati) akiwa na wasanii wa Bongo Fleva, Dully Sykes na Ommy Dimpoz.
 
UZINDUZI WA video mpya ya Nasib Abdul ‘Diamond’ iitwayo My Number One, imeonekana kufuru kutokana na maandalizi yake na aina za kamera zilizotumika.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria uzinduzi rasmi wa video hiyo uliofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar, walisema kuwa Diamond ameleta mabadiliko katika tasnia hiyo ya muziki wa Bongo Fleva hasa katika kipengele cha video bora.  Maandalizi ya video hiyo yamegharimu kiasi cha Dola za Kimarekani 30,000 ambazo ni kama sh. Milioni 48.5.

0 comments:

Post a Comment