

Alikamatwa wakati anajiandaa kubadilisha ndege ili kupanda inayokuja Tanzania.
Hakujatolewa taarifa nyingine zaidi ila millardayo.com inaendelea kufatilia info zaidi kwa sababu bado Mtanzania huyu anashikiliwa na polisi wa Dubai.

Hili tukio limetokea siku kadhaa baada ya mabinti wa Kitanzania kukamatwa wakiingiza dawa za kulevya kwenye nchi za Zimbabwe na Afrika Kusini wakati pia kwenye Uwanja wa ndege Dar es salaam mwanaume Mtanzania alikamatwa siku kadhaa zilizopita akiwa anasafirisha dawa za kulevya.
credit kwa millardayo.com
0 comments:
Post a Comment