
Diamond anatarajia kutengeneza tena vichwa vya habari pale atakapoachia video ya wimbo mpya ‘Number 1′ aliyoshoot mwezi huu nchini Afrika Kusini. Video hiyo ambayo Diamond anasemekana kutumia zaidi ya shilingi milioni 50 kuikamilisha, imetengenezwa na kampuni ya Ogopa Videos ya nchini Kenya. Hizi ni screenshots exclusive walizopata bongo5
























CHANZO : BONGO5
RSS Feed
Twitter

0 comments:
Post a Comment